SABABU TUNAZO, NIYA TUNAYO NA UWEZO TUNAO!
NIMEPATA maoni mengi kutoka kwa wanabloger wengi hapa dunaiani, wamekuwa wakiniuliza sana eti kwa nini mablogist wa hapa kwetu Tanzania wamekuwa wakiblog sana kuhusiana na siasa tu na si mambo mengine kama urembo?
Sababu ya kwanza ni kwamba kwa taarifa tu tarehe 30 oktoba mwaka huu amabyo itakuwa ni Jumapili watanzania wote watakuwa Bize wakichagua Rais wao, Wabunge na Madiwani wa kata mbalimbali.
kwa maana kuwa tuna uchaguzi mkuu wa wabunge na m,adiwni wakati rais wa awamu ya nnne atapatikana siku hiyo hiyo.
sababu hii nafikiri ndiyo inayowafanya wanablog kujadili sana masuala ya siasa yanavyokwenda katika nchi ya Tanzania katiak siasa ya vyama vingi ambavyo hakina upinzani.
NIYA ya kublog siasa ni kuwapatia habari watanzania wengine waliko nje ya nchi ya tanzania waende na wakati, na kufahamu kila kitu kinaendaje katika nchi yao hususan katika maandalizi ya kumchagua rais.
uwezo wa kuwafikishia ujumbe watanzania hao tunao ni lazima tufanye hivyo wanablog wa kitanzania ikli kuondokana na lawama ambazo hapo baadaye zitatuhukumu kwa kutowapatia haki yao watanzania hao bila kujua kama ni dhambi kubwa yenye madhara kwa watanzania hao.
sasa tufanye kwa nia, sababu na uwezo pia kwa kuwa wao wameweza wana nini mpaka sisi tushindwe tuna nini? akina mama wakati umefika sasa kuonyesha kuwa bila sisi hakiendi kitu.
Sababu ya kwanza ni kwamba kwa taarifa tu tarehe 30 oktoba mwaka huu amabyo itakuwa ni Jumapili watanzania wote watakuwa Bize wakichagua Rais wao, Wabunge na Madiwani wa kata mbalimbali.
kwa maana kuwa tuna uchaguzi mkuu wa wabunge na m,adiwni wakati rais wa awamu ya nnne atapatikana siku hiyo hiyo.
sababu hii nafikiri ndiyo inayowafanya wanablog kujadili sana masuala ya siasa yanavyokwenda katika nchi ya Tanzania katiak siasa ya vyama vingi ambavyo hakina upinzani.
NIYA ya kublog siasa ni kuwapatia habari watanzania wengine waliko nje ya nchi ya tanzania waende na wakati, na kufahamu kila kitu kinaendaje katika nchi yao hususan katika maandalizi ya kumchagua rais.
uwezo wa kuwafikishia ujumbe watanzania hao tunao ni lazima tufanye hivyo wanablog wa kitanzania ikli kuondokana na lawama ambazo hapo baadaye zitatuhukumu kwa kutowapatia haki yao watanzania hao bila kujua kama ni dhambi kubwa yenye madhara kwa watanzania hao.
sasa tufanye kwa nia, sababu na uwezo pia kwa kuwa wao wameweza wana nini mpaka sisi tushindwe tuna nini? akina mama wakati umefika sasa kuonyesha kuwa bila sisi hakiendi kitu.
